Tuesday, March 3, 2026
spot_img
HomeHabariRais Samia akikagua gwaride la kuwatunuku maafisa wa Jeshi

Rais Samia akikagua gwaride la kuwatunuku maafisa wa Jeshi

Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride Maalumu la kuwatunuku Kamisheni Maafisa wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwenye hafla iliyofanyika katika Chuo cha Kijeshi Monduli Mkoani Arusha leo Novemba 22, 2025.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments