Rais Samia na viongozi wa Mkutano wa Nishati wa Afrika – Misheni 300

Dar es Salaam, Tanzania – Januari 28, 2025:

Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika – Misheni 300. Tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam leo.

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *