Saturday, December 13, 2025
spot_img
HomeMichezoShuhudia Dk.Samia alivyocheza Hip Hop Lindi

Shuhudia Dk.Samia alivyocheza Hip Hop Lindi

Burudani ya muziki wa Hiphop, iliyoimbwa na Mgombea ubunge wa Nachingwea, Fadhili Liwaka katika jukwaa la kampeni, zimemuibua Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan, aliyeshindwa kujizuia na kuanza kucheza.

Hilo limeshuhudiwa leo, Jumatano Septemba 24, 2025 katika mkutano wa kampeni za urais Ruangwa mkoani Lindi.

Liwaka alianza kuimba muziki huo, alipokuwa jukwaani kuomba kura, huku Dk. Samia akicheza katika jukwaa kuu.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments