
Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa Chama cha CUF na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dundani Wilaya ya Mkuranga (2014-2019) Said Hamis Kindumbwe amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama Ado Shaibu.


Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa Chama cha CUF na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dundani Wilaya ya Mkuranga (2014-2019) Said Hamis Kindumbwe amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama Ado Shaibu.

Maarifa Online Media ni chombo huru cha habari mtandaoni kinachotoa taarifa sahihi na za kuaminika kuhusu siasa, uchumi, jamii, michezo, elimu, afya na teknolojia. Tumejikita kwenye uwazi, weledi na uwajibikaji ili kuwafikishia wananchi habari bora na zenye mvuto kupitia tovuti na mitandao ya kijamii.
© 2025. Maarifa Online Media. All RIghts Reserved.


