
Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa Chama cha CUF na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dundani Wilaya ya Mkuranga (2014-2019) Said Hamis Kindumbwe amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama Ado Shaibu.

Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa wa Chama cha CUF na Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji cha Dundani Wilaya ya Mkuranga (2014-2019) Said Hamis Kindumbwe amejiunga na Chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Chama Ado Shaibu.