Tuesday, February 10, 2026
spot_img
HomeHabariBobi Wine apigwa risasi ya mguu

Bobi Wine apigwa risasi ya mguu

Mwanasiasa mashuhuri Nchini Uganda ambaye pia ni Rais wa NUP, Robert Kyagulanyi (Bobi Wine) amejeruhiwa kwa kupigwa risasi mguuni na Polisi wakati Polisi wakiwatawanya Wafuasi wake katika eneo la Bulindo Manispaa ya Kira.

Vyombo vya Habari Nchini Uganda vimeripoti kuwa Bobi amepigwa risasi mguuni kauli ambayo imethibitishwa na Admin wa ukurasa wa X (zamani Twitter) wa Bobi Wine ambaye amekiri Bobi amepigwa risasi na amefikishwa Hospitali kupata matibabu.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments