“Fountain Gate ni timu nzuri, tumejiandaa vizuri lakini”

Kocha Fadlu ataka Simba itakayofunga mabao mengi | Nipashe Jumapili

“Fountain Gate ni timu nzuri sana ambayo imejitengeneza vizuri kwenye ulinzi. Tumejiandaa vizuri lakini tunawachukulia kwa uzito mkubwa na tunawaheshimu kama timu nzuri na tumejiandaa kama siku zote kwa ajili ya kuchukua pointi tatu.

“Nafurahishwa na njia zetu za kutengeneza nafasi na kufungua wapinzani. Tunataka kuwa na aina ya uchezaji wa haraka. Nina uhakika Fountain Gate watakuja kucheza nyuma lakini sio kwa ilivyokuwa kama mechi iliyopita,”

Simba Sports Club on X: "Kocha wa mpira Fadlu Davids. Taarifa za kambi yetu  nchini Misri zitapatikana kupitia Simba App na Simba Bando. Piga *149*01# >  7 > 1. #WenyeNchi #NguvuMoja https://t.co/bjPrO6HPMI" / X

Kocha Simba SC – Fadlu Davids

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *