Monday, February 9, 2026
spot_img
HomeHabari"Jasusi wa Urusi" akutwa amekufa Norway

“Jasusi wa Urusi” akutwa amekufa Norway

Nyangumi aina ya ‘beluga’ anayeshukiwa kupewa mafunzo ya kijasusi na Urusi amekutwa amekufa pwani ya Norway.

Mwili wa nyangumi huyo -aliyepewa jina la utani kama Hvaldimir – ulikutwa ukielea na umepelekwa kwenye bandari ya karibu kwa uchunguzi.

Nyangumi huyo alionekana kwa mara ya kwanza katika maji ya Norway miaka mitano iliyopita, akiwa na kamera ya GoPro iliyofungwa kukiwa na picha zenye maandishi “Vifaa vya St Petersburg.”

Kufahamu zaidi kuhusu nyangumi Hvaldimir tembelea tovuti ya BBCSwahili.

Chanzo: BBCSwahili

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments