Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeHabariRaila Odinga afariki dunia kwa mshtuko wa moyo

Raila Odinga afariki dunia kwa mshtuko wa moyo

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga, ambaye alikuwa akitibiwa nchini India, amefariki baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo.

Alikimbizwa hospitalini ambako alitangazwa kufariki mwendo wa saa 9:52 asubuhi (saa za India), kulingana na Msemaji wa hospitali hiyo.

Kulingana na ripoti kutoka India, binti yake na jamaa walikuwa pamoja naye.

Odinga ambaye alikuwa na umri wa miaka 80 ni Mwanasiasa Mashuhuri wa Kenya ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuanzia 2008-2013.

KitengeUpdates

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments