Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya Picha aliposhiriki Mkutano wa hadhara wa Kampeni za uchaguzi Mkuu Uwanja wa Tumbaku Mkoani Morogoro leo August 29, 2025.









