Timu ya Taifa ya Watu wenye Ulemavu (Tembo Warriors) ilianza vibaya CECAAF baada ya kupoteza 2-0 dhidi ya Kenya jijini Bujumbura.
Nahodha Bashra Alombile amesema hawakuridhishwa na matokeo hayo lakini wamejipanga kurekebisha makosa kuelekea mchezo wao wa leo dhidi ya Uganda.




