Wednesday, December 10, 2025
spot_img
HomeHabariDk. Samia aomba kura Mchinga, Lindi

Dk. Samia aomba kura Mchinga, Lindi

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha alipozungumza na Kuomba kura kwa Umati wa Wananchi wa Jimbo la Mchinga Mkoani Lindi wakati wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo Septemba 25, 2025.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments