Sunday, November 9, 2025
spot_img
HomeHabariDk. Samia atua Mwanza kuhitimisha kampeni kesho

Dk. Samia atua Mwanza kuhitimisha kampeni kesho

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Samia Suluhu Hassan katika matukio tofauti ya Picha alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza leo Oktoba 27, 2025 tayari kwa Kuhitimisha Kampeni za uchaguzi Mkuu kesho.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments