Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akivuta kitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam, tarehe 3 Machi 2026.










