Sunday, February 22, 2026
spot_img
HomeHabariRais Samia azindua Shule ya Chief Zulu

Rais Samia azindua Shule ya Chief Zulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika matukio tofautitofauti alipoweka Jiwe la Msingi kwenye Uzinduzi wa Shule ya Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Chief Zulu Mkoani Ruvuma ambayo ujenzi wake umegharimu zaidi ya Shilingi Milioni 600.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments