Sunday, December 14, 2025
spot_img
HomeMichezoSamatta amshawishi nyota mpya Simba

Samatta amshawishi nyota mpya Simba

Kiungo mshambuliaji mpya wa Simba, Morice Abraham, amesema kujiunga kwake na Wekundu wa Msimbazi kumefanikishwa na ushauri wa Mbwana Samatta, aliyewahi kuichezea timu hiyo 2010–2011.

Morice, aliyekuwa akicheza Serbia, amesema Samatta ndiye aliyemhimiza kusaini mkataba na Simba na amekuwa mshauri wake tangu 2020.

Mchezaji mwingine mpya wa Simba, Mkenya Mohamed Bajaber, amesema hakulala usingizi baada ya kupata taarifa ya kutakiwa na Simba, akieleza heshima ya kuichezea klabu kubwa inayofahamika Afrika nzima.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments