Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dk. Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki Mkutano wa hadhara na maelfu ya Wananchi wa Dakawa Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro kwenye Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo August 30, 2025.












