Sunday, December 7, 2025
spot_img
HomeHabariDk. Biteko afungua Mkutano wa Nishati wa Viongozi Afrika

Dk. Biteko afungua Mkutano wa Nishati wa Viongozi Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua mkutano wa Kimataifa wa Nishati unaowakutanisha Viongozi mbalimbali wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa; Viongozi wa Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika na taasisi ya Rockefeller (M300) inayofanyika leo Januari 27, 2025 jijini Dar es salaam.

Taarifa zaidi zitakufikia kadri zinavyoendelea kupatikana.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

- Advertisment -
NMB Tanzania

Most Popular

Recent Comments