Wachezaji wa TImu ya Taifa wakiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere kwa ajili ya safari ya kuelekea Kigali, Rwanda kushiriki michuano ya FIFA Series 2026.
Ikiwa Rwanda Taifa Stars itacheza mechi za kirafiki dhidi ya Liechtenstein, Aruba na Macau.
Mechi hizo ziko katika Kalenda ya FIFA.





